Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda (katikati) na makamu wake, Zainab Shomari wakiwa na viongozi wenginebaada ya kushuhudia tukio la kihistoria la Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuruhusu kuanza kujaza maji katika Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere kwa ajili ya kuzalisha umeme, Disemba 22, 2022 Rufiji, mkoani Pwani.
Post a Comment