Featured

    Featured Posts

MARY CHATANDA ANENA MAKUBWA MKUTANO WA KUMPONGEZA RAIS SAMIA+video

                                          
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mary Chatanda akielezea jinsi UWT ilivyojipanga kuhakikisha wanafanikisha ushindi wa chama hicho katika chaguzi mbalimbali nchini, kumsemea, kumpigania na kumpambania Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia.... Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa UWT Taifa kumpongeza Rais Samia kwa ushindi mkubwa alioupata kuwa Mwenyekiti .

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, Fatma Toufiq akizungumza kwa niaba ya wabunge wanawake.


Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa UWT nchini, Neema Majule akiwasalimia wananchi waliohudhuria mkutano huo.

Mmoja wa waasisi wa UWT, Getrude Mongella akiwafunda viongozi wa umoja huo.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile akkuwapa tambiko la kigogo na kirangi mwenyekiti wa UWT Chatanda na Makamu wake, Zainab.itangaza 
Makamu Mwenyekiti wa UWT, Zainab Shomar akihutubia kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti Chatanda.
Mbunge wa Viti Maalumu, Neema Rugangira akisoma maazizmio ya UWT.
Zainab akiserebuka muziki pamoja na wanawake waliohudhuria mkutano huo.

                                            
                                        
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Chatanda akinena mambo hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana