Featured

    Featured Posts

SIMBA SC YAMSAJILI NTIBANZOKIZA KUTOKA GEITA GOLD

 


KLABU ya Simba imetangaza kumsajili kiungo mkongwe Mrundi, Said Ntibanzokiza kutoka Geita Gold, akiwa mchezaji wake wa kwanza kabisa mpya dirisha hili dogo.

Ntibanzokiza amecheza Geita Gold kwa nusu msimu baada ya kuondoka kwa mahasimu wa Simba, Yanga SC ambako alidumu kwa misimu miwili.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana