Featured

    Featured Posts

TMA YATOA ANGALIZO KUTOKEA MVUA KUBWA MIKOA 11 NCHINI

 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa zinazoweza kuleta madhara zinazotarajiwa kunyesha katika mikoa 11 ya Tanzania.

Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa na Mamlaka hiyo kuhusu matarajio ya Hali ya Hewa, imeelezwa kuwa Mikoa hiyo ni Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Mbeya, Songwe, Rukwa, Singida, Dodoma, Lindi na Mtwara.





author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana