Featured

    Featured Posts

ASKOFU DKT CHANDE AONGOZA KULIOMBEA TAIFA, VIONGOZI WAKUU +video

Askofu Dkt.  Evance Chande wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God la Ipagala jijini Dodoma na wazee wa kanisa wakiliombea amani na utulivu  Taifa na viongozi wakuu wa serikali wakati wa ibada iliyofanyika kanisani hapo ikiwa pia ni kuukarisha mwaka mpya wa 2023.
Askofu Chande akinena kwa maneno wakati wa kuliombea Taifa.
Baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakiliombea Taifa la Tanzania liwe la Amani na Utulivu.
Kanisa la Karmeli Assemblies of God ambapo maombi yamefanyika.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Askofu Chande akifanya maombi hayo....







 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana