Featured

    Featured Posts

JAJI MFAWIDHI DK. JOHN UTAMWA AFARIKI DUNIA, JIINI DAR ES SALAAM, LEO

Na CCM Blog, Dar es Salaam 

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa Dk. John Harold Kulimba Utamwa amefariki Dunia.

Taarifa za awali zimesema amefariki Dunia leo Januari 2, 2023, akiwa katika Hospitai ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa Dk. John Harold Kulimba Utamwa, enzi za Uhai wake.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana