Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MWIYI ATEUA KAMISHNA MKUU ZRA KUTIMIZA MATAKWA YA KISHERIA

Na Bashir Nkoromo, CCM Blog
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua Yusuph Juma Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato zanzibar (ZRA).

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katiu Mkuu Kiongozi Zanzibar Mhandisi Zena Said uteuzi huo umeanza Januari 10, 2023.

"Kufuatia kufutwa kwa Sheria ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ya mwaka 1996 na kutungwa Sheria ya Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ya mwaka 2022, Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua Ndugu Yusuph Juma Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar", imesema taarifa hiyo.

Rais Dk. Mwinyi

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana