Featured

    Featured Posts

UWT YAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWEKA HISTORIA, WANAFUNZI MILIONI MOJA WAANZA KIDATO CHA KWANZA.


                                       

UONGOZI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), umempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka historia  kwa Wanafunzi 1,000,000 kuanza kidato cha kwanza maeneo mbalimbali nchini.


UWT ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mary Chatanda imetoa pongezi hizo leo kwa Rais Samia  kwa kufanya maajabu katika kipindi chake kifupi cha uongozi wake kufanikisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 23,000 vilivyowezesha Wanafunzi hao kwa mpigo kuanza shule leo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana