Featured

    Featured Posts

WAZIRI MKENDA: WATAKAOBAINIKA KUVUJISHA MITIHANI KUFUKUZWA KAZI, KUSHITAKIWA+video


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia. Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa hivi sasa serikali haitoishia kufungia shule bali msululu wa wasimamizi wote wa shule iliyovujisha mtihani watahojiwa na watakaobainika watafukuzwa kazi na kushitakiwa. Mkenda ameyasema hayo katika kikao na wadau wa elimu ambacho pamoja na mambo mengine ya kuboresha elimu nchini wamelizungumzia hilo la uvujishaji wa mitihani.


Baadhi ya wadau wa elimu wakiwa katika kikao hicho.

 Rweikiza mmoja wa wamiliki wa shule binafsi
Luvanda kutoka Chama Cha Wamiliki wa Shule binafsi (TAMOSCO)

 Rais wa TAPIE, Mohamed Mringo.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Prof. Mkenda akitoa agizo hilo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana