Featured

    Featured Posts

MWENEZI MJEMA ATOA MAELEKEZO KUHUSU BILIONI 900 ZILIZOTOLEWA NA RAIS SAMIA KWA AJILI YA MASHAMBA YA UMWAGILIAJI

Katibu wa NEC, Idara ya Itkadi na Uenezi Sophia Mjema, ametoa maagizo kwa Mkuu wa mkoa wa Tanga, kujiweka sawa ili kuwasaidia Vijana jinsi ya kuomba mashamba ambayo yameanza kutengwa kufuatia Sh. bilioni 900 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mashamba hayo yatakuwa ya umwagiliaji na pia yatakuwa na zana za kilimo na viwatilifu, ikiwa ni katika jitihada za Serikali kupunguza au kuondoa changamoto ya ajira kwa vijana. Mjema amesema hayo akiwa Wilayani Lushoto, Tafadhali msikilize hapo👇

 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana