Featured

    Featured Posts

PUMPU ZA MRADI WA MAJI MATWIGA ZAWASHWA BAADA YA MBUNGE KASAKA KUKIWASHA BUNGENI


 
Mbunge wa Lupa wilayani Chunya, Masache Kasaka baada ya leo kuhoji bungeni Dodoma Februari 2, 2023 kuwa ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa Mradi wa Matwiga Face One ili wananchi wa Kipembawe waanze kunufaika, tayari pumpu za mradi huo zimewashwa mchana. Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video,maji yakianza kutoka....
 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana