Featured

    Featured Posts

SUBIRA MGALU AIPONGEZA SERIKALI KUPELEKA TRIL. 11 KWENYE MIRADI MBALIMBALI


 Mbunge wa Viti Maalumu, Subira Mgalu akiwasilisha mchango katika taarifa ya Bajeti bungeni Dodoma Februari 6, 2023, ameipongeza serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka sh. Tril. 11 kwenye miradi mbalimbali nchini.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Sillo akiwasilisha taarifa hiyo...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana