Featured

    Featured Posts

MUDATHIR YAHYA BADO YUPO YUPO SANA YANGA

 


RAIS wa Yanga SC, Hersi Ally Said (kushoto) akimkabidhi jezi ya klabu kiungo Mzanzibari, Mudathir Yahya Abbas baada ya kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. 
Mudathir Yahya alisajiliwa Yanga katika dirisha dogo mwezi Januari kwa mkataba wa hadi mwisho wa msimu, lakini kwa kazi nzuri ndani ya miezi mitatu tu ameboreshewa mkataba Jangwani. 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana