Tunapoadhimisha miaka 60 ya Uhuru, ni vyema kukumbuka kwamba kila mmoja wetu kwa nafasi yetu tuna nafasi ya kujenga Tanzania yenye tumaini kwa wote! Hili ni ombi langu, tujumuike na tuungane kuijenga nchi yetu! Mungu ibariki Tanzania, Tubariki na watu wake!
Post a Comment