Featured

    Featured Posts

MAPOKEZI YA KINANA SIMIYU

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg. Abdulrahman Kinana, ameendelea na ziara ya kikazi, ambapo mapema leo Julai 27,2023 amepokelewa katika mji wa Lamadi, Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu.


Makamu Mwenyekiti ameambatana na Katibu wa NEC,  Itikadi na Uenezi CCM Ndg. Sophia Mjema.






author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana