Featured

    Featured Posts

MBUNGE WA CHADEMA AMPA KONGOLE RAIS SAMIA UWEKEZAJI WA BANDARI+video

Mbunge waViti Maallum kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jesca Kishoa amemmwagia sifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya kuliletea Taifa Maendeleo ikiwemo uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Kishoa ameyasema hayo alipokaribishwa kuzungumza na na wananchi katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Chongolo kwenye Uwanja wa Bombadia mjini Singida Julai 23, 2023.


 Komredi Chongolo akimpongeza Jesca Kishoa baada ya kutoka jukwaani kuzungumza na wananchi na kumuunga mkono Rais Samia kwa kazi nzuri ya kuijenga nchi.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana