Featured

    Featured Posts

CHATANDA: UWT IMEJIPANGA KIKAMILIFU KUSAKA KURA ZA MGOMBEA WA CCM MBARALI

 

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda amekutana na wananchi wa kata wa Luhanga na Igurusi  Wilayani Mbarali  Mkoani Mbeya na kuwaomba wamchague Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Bahati Ndingo kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali.

 
Akizungumza   na wananchi wa kata hizo Septemba 12, 2023,  Mwenyekiti Chatanda amesema UWT Taifa imejipanga kikamilifu kutafuta kura za Mgombea wa CCM  Jimbo la Mbarali usiku na mchana ili chama  Cha Mapinduzi  kishinde kwa kishindo.
 
UWT IMARA JESHI LA MAMA KAZI IENDELEE

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana