Featured

    Featured Posts

KOMREDI CHONGOLO AKILONGA NA VIONGOZI TAMASHA LA KIZIMKAZI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akizungumza  na viongozi  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson,2023 pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibari Mhe. Zubeir Ali Maulidi wakati wa kilele cha tamasha la Kizimkazi lililofanyika Agosti 31,2023 Paje,Zanzibar ambapo 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa mgeni rasmi.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana