Featured

    Featured Posts

MWANYIKA AITAKA SERIKALI KUONGEZA BAJETI ZA UJENZI WA BARABARA NJOMBE MJINI+video


Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika  ameitaka serikali kutoa kauli ya kuongeza bajeti ya ujenzi wa barabara kwa majimbo ya mjini ikiwemo Njombe Mjini ambayo pia yana maeneo ya vijijini.

Ameyasema hayo bungeni Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu Septemba 4,2023.





author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana