Featured

    Featured Posts

UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA CCM JIMBO LA MBARALI


 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Waziri Mkuu Mstaafu Ndg. Mizengo Peter Pinda amezindua Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa CCM Jimbo la Mbarali leo Tarehe 10/09/2023 viwanja vya Stendi kata ya Rujewa.


Mhe. Pinda Pamoja na Viongozi  wa Chama ngazi ya Taifa wakiongozwa na Mratibu wa Kampeni Jimbo la Mbarali Ndg. Issa Gavu wamemnadi mgombea na kumwombea kura Ndg. Bahati Keneth Ndingo mbele ya wananchi na wanachama wa CCM wa Mbarali .


#KaziIendelee

#MbaraliyaCCM

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana