Featured

    Featured Posts

CDE MWAJABU MBWAMBO APOKEA WANACHAMA WAPYA WA UWT TAWI LA KIVULE MASHARIKI, WASEMA WAMEJIUNGA KUUNGA MKONO RAIS DK. SAMIA

Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa Dar es Salaam Mwajabu Mbwambo,  amepokea Wanachama wapya wa Jumuiys hiyo Tawi la Kivule Mashariki. 


Wanawake hao wamevutiwa sana kujiunga na UWT ikiwa ni ishara ya kuunga mkono Juhudi za Rais Dk. Samia Sulu Hassan katika kutekeleza mambo mbalimbali yanayohusu Wanawake na watoto kwenye afya, elimu, maji na kupinga ukatili wa kijinsia. 

Cde Mwajabu Mbwambo akikabidhi kadi kwa mwanachama.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana