Featured

    Featured Posts

KIMBISA AMMWAGIA PONGEZI MAJULE KWA KUTOA MSAADA WA VYEREHANI 150 KWA WANAWAKE


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Alhaji Adam Kimbisa ametoa pongezi tele kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dodoma, Neema Majule kwa kutoa msaada wa vyerehani 150 kwa wanawake wa Kata 150.

Amepotoa pongezi hizo wakati wa kukabidhi msaada huo jijini Dodoma Desemba 19, 2023.










  IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana