Featured

    Featured Posts

CHATANDA: LEENI WATOTO KWA KUZINGATIA MILA NA DESTURI NZURI

 


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Mama Mary Chatanda (MCC) amejumuika na Waumini wengine katika kushiriki kushiriki Ibada takatifu katika Kanisa la KKKT ushirika wa Mpwapwa, Mkoani Dodoma, Leo tarehe 26 Novemba, 2023.


(MCC) Chatanda amepata fursa ya kuzungumza na Waumini wa Kanisa hilo ambapo alitoa salamu za Upendo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Aidha, amewakumbusha Wazazi kuendelea kuzingatia Mila na Desturi nzuri katika kuwalea Watoto, Lakini pamoja na Kupinga vitendo vya Ukatili wa Kijinsia.


#UshirikiWaIbadaTakatifu

#UWTImara

#UWTJeshiLaMamaSamia

#KaziIendelee

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana