Featured

    Featured Posts

MANENO MATAMU, MACHUNGU YA KOMREDI CHONGOLO KWA WAKANDARASI

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Chongolo akizungumza katika Mkutano wa Makandarasi na Wasahauri Elekezi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Novemba 21, 2023, ambapo amewapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya nchini,lakini pia amekemea vitendo vya baadhi ya wakandarasi wanaoifedhehesha tasnia hiyo.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akihutubia katika mkutano huo.
Sehemu ya washiriki wa mkutano huo ambao asilimia kubwa ni wakandarasi na washauri elekezi wa sekta ya ujenzi nchini.

 Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Komredi Chongolo akitoa ujumbe huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana