Featured

    Featured Posts

GAVU ATEMA CHECHE KWA VIONGOZI WASIO WAJALI WANANCHI

 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Oganaizesheni, Issa Haji Gavu amesema kuwa CCM haitokuwa tayari kumbeba kiongozi asiyehangaika na changamoto za wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Wazee mkoani Singida.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Komredi Gavu akitoa ujumbe huo muhimu

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

...

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana