Featured

    Featured Posts

RAIS FELIX TSHISEKEDI AANZISHA MCHAKATO SHIRIKISHI WA KUREJESHA USALAMA MASHARIKI MWA KONGO DR

Rais Tshisekedi amechukua hatua hiyo ikiwa ni katika ajenda yake ya kurejesha usalama na amani katika maeneo ya mikoa ya mashariki mwa nchi hiyo ambayo kwa muda sasa imekuwa ikishuhudia mauaji na machafuko.
Sultan Makenga Kiongozi wa waasi wa M23
Kwa mujibu wa mpango huo, kurejeshwa usalama huko mashariki mwa Kongo DR, kunahitajia kualikwa askari wa Rwanda na Uganda kushiriki katika operesheni za kuwasaka waasi wa maeneo hayo, suala ambalo linatajwa kuwa huwenda likawa njia mjarabu ya kuhitimisha hali ya mchafukoge katika eneo hilo.
Waasi wa M2
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana