Featured

    Featured Posts

KILELE CHA FURSA 2019 KUFANYIKA KESHO DESEMBA 7 DAR


Kilele cha Fursa 2019 kinatarajia kufanyika kesho Desemba 7  kwenye ukumbi wa Julius Nyerere vConvetion Cente (JNICC) Dar Es Salaam 
Katika semina hiyo ya fursa utasikia watu mbalimbali wakielezea mafanikio yao  na namna walipoanzia na kupata mafanikio ikiwemo wasukuma mikokote mpaka wauza miguu ya kuku na mtengeneza kucha.

Dar ya ndoto itaendeshwa na Mkurugenzi wa fursa Suma Mwaitenda,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam Paul Makonda na Joseph Kusanga Mkurugenzi wa Clouds 
Fursa  2019 ambayo imeletwa kwenu na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni-Brela, usichukulie poa nyumba ni choo, clouds, vijana think tank, tacaids, uhuru hospital, R ¥O Tours and Safarisô



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © 2025 Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana