Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu cha kujadili mikakati ya kudhibiti ugonjwa wa Corona hapa nchini, kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, leo Machi 23, 2020. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Dk. Zainab Chaula.
Baadhi ya Mawaziri na Makatibu Wakuu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipoungumza nao katika kikao kazi kuhusu mapambano dhidi ya ugonjwa Corona (COVIC -19) hapa nchini, kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, leo Machi 23, 2020. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment