Featured

    Featured Posts

TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA AFYA YA KINYWA NA MENO YATUA IKOLA MKOANI KATAVI

Rais wa Chama cha Wataalamu wa Afya ya Kinywa na Meno Tanzania. (TDA) Dkt. Ambege Mwakatobe akizungumza jambo kabla ya Uchunguzi wa Afya ya Kinywa na Meno Kata ya Ikola Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi katika kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani  Tarehe 20, Machi . (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) 
Timu ya Madaktari ikielekea kutia kambi katika Kata ya Ikola Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi kutoa Elimu na  huduma ya matibabu ya Afya ya Kinywa na Meno bila malipo leo Machi 16, 2020


DR. Joseph Tungalanza akiongoza  mtumbwi akipiga kasia mara baada ya kutia Timu katika Kata ya Ikola
Katibu wa Afya wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi Juliana Mahonda  (katikati) akitia saini katika kitabu cha wageni , kulia ni Rais wa Chama cha Wataalamu wa Afya ya Kinywa na Meno Tanzania (TDA) na katibu Mkuu wa chama hicho Gemma Berege






Wanafunzi wa wakisubi kupata huduma za afya ya kinywa na meno 





       Mwakilishi kutoka wizara ya afya, Angela Sijaona                   akizungumza jambo na wananchi na wanafunzi wa Kata      ya Ikola waliojitokeza mara baada ya Madaktari hao kutia      Timu katika Kata hiyo
Daktari Bingwa wa Afya ya Kinywa na Meno kwa Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkta. Gustav Rwekaza akimpatia uchunguzi mmoja wa watoto waliofika katika Kata ya Ikola Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi  kupata huduma hiyo ya Afya ya Kinywa na Meno akiwa na mama yake mzazi 

Madaktari wakiwa katika maadalizi 
Madaktari wakiwa katika maadalizi 




author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana