Featured

    Featured Posts

WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA BILIONI 1.1 KUKABILIANA NA CORONA COVID-19

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipima joto la mwili wakati alipowasili ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam kupokea michango kutoka kwa wadau mbalimbali kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa CORONA, Machi 28, 2020.
Baadhi wa wadau waliotoa michango ni pamoja na familia ya Karimjee Jivanji ya jijini Dar es Salam iliyotoa jenereta lenye thamani ya shilingi milioni 75, Benki ya UBA waliotoa hundi ya shilingi milioni 230.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana