Featured

    Featured Posts

RAIS MAGUFULI AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa ndugu, jamaa na marafiki wa watu takribani 18waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani iliyotekea leo Apr 15, 2020, majira ya saa 12:55 asubuhi katikakijiji cha KilimahewaKaskazini, Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani  

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana