Featured

    Featured Posts

TAARIFA YA UTEKELEZAAJI WA ILANI YA CCM JIMBO LA BUSOKELO 2015-2018 CHINI YA MBUNGE ATUPELE MWAKIBETE

 Jimbo la Busokelo ni kati ya Majimbo saba ya uchaguzi kwa Mkoa wa Mbeya, lina tarafa moja, Kata 13 ambazo ni Kata ya Mpombo, Kandete, Isange, Luteba, Lwangwa, Kabula, Mpata, Itete, Lufilyo, Lupata, Kisegese, Ntaba na Kambasegela. Na vijiji 56, Matawi ya CCM ni 72. 

Kwa kuwa mambo mengi yaliyofanywa na Mbunge wa jimbo hilo Ndugu Atupele Mwakibete katika utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichompa ridhaa ya kugombea Ubunge na hatimaye kushinda kuwa Mwakilishi wa wana Busokelo kwa nafasi ya Ubunge, yeye na timu yake wametumia mda wao kutengeneza au kuandika Taarifa ya utekelezaaji huo katika kipindi cha miaka mitatu, kuanzia Novemba 2015 – Novemba 2018, unajulikana kwa umma wa Watanzania hususani Wananchi wa jimbo hilo.

Utekelezaji wake huo, pamoja na kuzingatia mambo muhimu yaliyoainishwa kwenye Ilani ya uchaguzi, umegusa pia baadhi ya ahadi alizozitoa  Rais Dk. John Magufuli  pamoja na  Makamu wake Samia Suluhu Hassan  Aidha ahadi zote zilizotekelezwa na zile zinazoendelea kutekelezwa zitaonekana katika majedwali katika taarifa hiyo. Kuisoma Taarifa hiyo Tafadhali >> BOFYA HAPA
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana