Featured

    Featured Posts

TANZANIA YAPEWA NA MADAGASCAR MSAADA WA DAWA YA CORONA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva wakinywa dawa ya kukinga na kutibu ugonjwa wa Corona wakati akipokea msaada wa dawa hiyo ulitolewa na Madagascar kwa Tanzania, jana.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akipokea kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva msaada wa dawa ya kukinga na kutibu ugonjwa wa Corona iliyotolewa na Madagascar kwa Tanzania.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akimshukuru Waziriwa Mambo ya Nje wa Madagascar Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kukinga na kutibu na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na nchi ya Madagascar.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana