|
Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Kinondoni wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akizungumza nao katika Ofisi ya DMDP Magomeni Jijini Dar es Salaam Juni 26,2020. |
|
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Kinondoni alipowasili katika Ofisi ya DMDP Magomeni Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam Juni 26,2020 kwa ajili ya kuzungumza na Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM. Makamu wa Rais yupo kwenye ziara ya Kichama Mkoa wa Dar es Salaam. |
Author Name
Author Description!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment