Featured

    Featured Posts

BAROZI DAVUTOGLU WA UTURUKI AWAPOKEA WAGENI WATAKAOTOA SADAKA SIKUKUU YA EID ALHAJ

Barozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu (wa nne kushoto ) akiwa na baadhi ya wageni kutoka Uturuki ambao wamekuja kusherekea sikukuu ya Eid Alhaj na kutoa sadaka kwenye familia zisizo jiweza. Kulia ni Mwakilishi kutoka Tasisi ya Humanitarian Aid Organization, Shaban Yusuph ambayo ipo hapa nchini. Wengine kutoka kushoto ni Farid Mnakatu, Samih Çavuş, Murat Aydın na Kassim Akın (wa pili kulia). PICHA NA ASHRACK MIRAJI





author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana