Featured

    Featured Posts

MADEREVA WA PIKIPIKI WAGONGANA

 Dereva wa Pikipiki (Bodaboda) akiwa katikati ya Barabara huku Askari wa Usalama Barabarani akiongoza kupunguza foleni iliyokuwepo leo Julai 3, 2020 mataa ya Uhasibu Barabara ya Kilwa akijikagua eneo la mguu baada ya kugongana na mwenzake eneo hilo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Askari wakimsaidia Dereva wa Pikipiki kumtoa eneo la ajali na kumpeleka pembeni mwa Barabara mara baada ya kugongana na mwenzake leo Julai 3, 2020 Dar es Salaam.
 Askari wa Usalama Barabarani akisaidiana na mwendesha Pikipiki kuondoa Pikipiki hizo eneo la tukio

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana