Featured

    Featured Posts

MKURUGENZI WA MATANGO CASHEWNUT AKARIBISHA WATEJA KUNUNUA KOROSHO TOKA MTWARA

 Mkurugenzi wa Matango Cashewnut na Mtunza Kumbukumbu Hospitali ya Chikongola Mtwara, Tatu Matango akiwaonesha Korosho kutoka Mtwara wateja mara walipotembelea Banda la Chama Cha Wafanya Biashara Wanawake Tanzania (TWCC) katika Maonesho ya 44 ya Kimataifa viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa Julai 7, 2020 Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).

 Mkurugenzi wa Matango Cashewnut na Mtunza Kumbukumbu Hospitali ya Chikongola Mtwara, Tatu Matango akimpatia mteja wake korosho aonje aliyefika  Banda la Chama Cha Wafanya Biashara Wanawake Tanzania (TWCC) katika Maonesho ya 44 ya Kimataifa viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa Julai 7, 2020 Dar es Salaam.. .


 Mkurugenzi wa Matango Cashewnut na Mtunza Kumbukumbu Hospitali iliyopo Chikongola Mtwara, Tatu Matango akijaribu kupanga biasha yake ya Korosho ambapo anauza Jumla na rejareja
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana