Featured

    Featured Posts

NAIBU KATIBU WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA ATEMBELEA MAHAKAMA KUU KIGOMA

Naibu Katibu Mkuu wa  Wizara ya Katiba na Sheria, Amon Mpanju (kulia) leo ametembelea Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma ili kujionea hali ya utoaji  huduma ya haki  kwa wananchi hususan wanyonge, ikiwemo ya Msaada wa Kisheria kabla ya uzinduzi wa  Kamati ya Uratibu  wa Huduma  ya Msaada  wa Kisheria  Mkoa  wa Kigoma.  Katika ziara hiyo Mpanju amefanya  mazungumzo na  Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Ilvin Mugeta (kushoto) ambaye alimwelezea ubora  wa huduma inayotolewa katika Mahakama hiyo kupitia Mahakama Mtandao  na kuhusu kutoa ofisi  kutoka jengo hilo kwa ajili ya  huduma ya msaada wa kisheria. (Picha na Festor Sanga- Mahakam, Kigoma)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana