Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MAGUFULI AFANYA UTEUZI MWINGINE LEO, NI WA DAS MPYA MKOA WA SIMIYU

Ikulu, Chamwino.
Rais Dk. John Magufuli  amemteua Mkurugenzi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mariam Perla Mmbaga kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Taarifa ya Ikulu imesema.

Taarifa hiyo imesema Mariam Perla Mmbaga anachukua nafasi ya  Jumanne Sagini na  ataapishwa Jumatatu tarehe 06 Julai, 2020 saa 4:00 asubuhi Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma.


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana