Featured

    Featured Posts

WATU WATATU AKIWEMO KATIBU TAWALA HANDENI WAAGA DUNIA


Watu Watatu wamefariki dunia akiwemo Katibu Tawala (DAS) wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Mwalimu Boniface Maiga Jumaa baada ya magari mawili kugongana mkoani Dodoma usiku wa kuamkia leo.

Ajali hiyo pia imesababisha majeruhi kadhaa akiwemo Mbunge wa Handeni Mhe.Omary Abdallah Kigoda.

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Dodoma, SACP Gilles Muroto amethibisha.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana