Featured

    Featured Posts

BEKI WA TOTTENHAM AHOFIA UKAGUZI WA POLISI KUWA WA KIBAGUZI

  Beki wa England na Tottenham, Danny Rose anaamini kuwa polisi walio simamisha gari lake walikuwa na mpango wa kumbagua .

Alisema kuwa alivutwa nje ya gari na kuhojiwa maswali "Kila wakati ni," Je! Gari hii imeibiwa? Umelipata wapi hili gari? Unafanya nini hapa? Je! unaweza tuthibitishia ulinunua gari hili? "

"Hii imekuwa ikitokea tangu nilikuwa na miaka 18."

Rose pia alisema amekuwa akihudumiwa tofauti kwenye usafiri wa umma na wafanyakazi wa gari moshi akiulizwa aonyeshe tiketi yake ya daraja la kwanza, wakati abiria wazungu wameachwa bila kuulizwa.

"Haya ni mambo ambayo yamenifanya niache kuvumilia, nikisimamishwa muda wote na kuulizwa ikiwa najua kuwa hii ni darasa la kwanza na kuonyesha tiketi yangu," ameongeza.

Wakati wowote ninaposema mambo au kulalamika, unasikia watu wakisema, 'Kwa kuwa una miliki hizi pesa kabiliana nayo' nilisha acha kuwa na matumaini kuiwa hii hali itabadilika kwa sababu hiyo ni maoni ya watu wengine kuelekea ubaguzi wa rangi. "
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © 2025 Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana