Featured

    Featured Posts

WENYE UHITAJI RUFIJI WAFAIDIKA NA SADAKA YA EID ALHAJI ILIYOTOLEWA NA TAASISI YA HAK

 Murat Aydin mwakilishi kutoka Taasisi ya HAK akichinja ngo'mbe kwa ajili ya kuwapatia familia zisizo jiweza kusherekea kwa pamoja katika sikukuu ya Eid Alhaji.   Wawakilishiri kutoka Taasisi ya HAK Humanitarian Aid Organization ya Uturuki wakiwapatia mkono wa Eid kwa kuwapa sadaja ya nyama kwa Kaya masikini na kambi za wanafunzi na watu wenye uhitaji maalumu wilayani Rufiji.
 Kasim Akin akiwakabidhi sadaka ya nyama kwa ajili watoto wenye ulemavu Kijiji Cha Mkongo Rufiji.
 Samih Cavus wa Tasisi ya HAK akimkabidhi mama kitoweo cha nyama ikiwa ni sadaka kwa ajili ya kusherehekea pamoja Eid Alhaji

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana