Featured

    Featured Posts

BASHUNGWA APIGA MAGOTI BUKOBA MJINI KUMUOMBEA KURA ZA KISHINDO MGOMBEA URAIS WA CCM DK. MAGUFULI


Waziri wa Viwanda na Biashara, mgombea ubunge jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa akiwa amepiga magoti kumuombea kura za kishindo kwa asilimia 100 Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM kwa upande wa Urais, Wabunge na Madiwani kwa mkoa Kagera katika uwanja Mayunga, Bukoba mjini, jana, Septemba 02, 2020
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana