Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce K. Nzuki (kulia) akizungumza na Msimamizi wa Masijala ya Siri kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Minael Mduma wakati wa Kikao cha ana kwa ana kilicholenga kuboresha utendaji kazi ndani ya Wizara hiyo, jijini Dodoma jana.
Post a Comment