Featured

    Featured Posts

TAASISI ZA UTURUKI ZAGAWA MSAADA WA MBUZI WA KUFUGA KWA WANANCHI RUFIJI

 

Mwakilishi wa Taasisi ya HAK hapa nchinI Tanzania, Shaban Mlongakweli akitoa semina kwa wananchi wa Rufiji kabla kuwakabidhi mbuzi kwa ajiri ya kufuga lengo ni kukuza uchumi wa wananchi wa eneo hilo. Mbuzi hao wametolewa na Taasisi ya HAK wakishirikiana na Top Change Empowerment Foundation zilizopo nchini Uturuki. PICHA NA ASHRACK MIRAJI


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana