Toufiq ambaye pia alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni na kuongoza kura za maoni za ubunge Viti Maalum Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, akiendelea kunadi ili wananchi wawachague wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu.
TOUFIQ: WANAWAKE TUTAWASHAWISHI WAUME ZETU WOTE WAMPIGIE DK MAGUFULI KURA NYINGI APATE USHINDI WA KISHINDO
Fatuma Toufiq akiingia jukwaani kujinadi yeye pamoja na wagombea wengine wa CCM na hasa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli (Wa pili kulia). Wengine kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ali, Makamu Mwenyekiti, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk. Hussein Ali Mwinyi. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Toufiq ambaye pia alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni na kuongoza kura za maoni za ubunge Viti Maalum Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, akiendelea kunadi ili wananchi wawachague wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu.
Toufiq ambaye pia alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni na kuongoza kura za maoni za ubunge Viti Maalum Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, akiendelea kunadi ili wananchi wawachague wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu.
Post a Comment