Featured

    Featured Posts

TRC YATANGAZA KUANZA SAFARI YA DAR -ARUSHA KWA SH 16,000



Mkurugezi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa akizungumza na waandishi wa habari leo, kuhusu uzinduzi rasmi wa treni ya abiria itakayoanza safari yake  Dar es salaam kwenda Arusha. Uzinduzi huo utafanyika 2/10/2020  jijini Arusha. Pia ndugu Kadogosa ametangaza punguzo la asilimia kumi na tano kwa wasafiri wa treni hiyo kwa kipindi cha mwezi mzima badala ya Sh.17,500 hadi  16,000 kutoka Dar es salaam mpaka Arusha. 





 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana