Featured

    Featured Posts

USHINDI WA DK MAGUFULI HAUNA MJADALA, KILICHOBAKI NI KUSAKA KURA ZA HESH...





MBUNGE Mteule wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa kupitia CCM, Dk. Ritta Kabati, amesema ushindi kwa Mgombea Urais wa Tanznania kupitia CCM hauna mjadala, kilichobaki ni kutafuta kura nyingi za heshima.



Dk. Kabati alitoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM katika Jimbo la Kalenga, ambapo alisema kura zitasakwa kwa wana CCM, wapinzania na wasio na chama.

Ili nisimalize uhondo, endelea kusikiliza kupitia video hii.


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana