Featured

    Featured Posts

DK MAGUFULI AUNGURUMA MKUTANO WA KAMPENI BABATI, MANYARA

 


Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono kuwasalimia wananchi wa Babati mjini mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Kwaraa Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020. 

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Babati katika mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika katika uwanja wa Kwaraa Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mkutano wa Kampeni katika eneo la Magugu Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020.

Sehemu ya Wananchi wa Babati waliofurika katika uwanja wa Kwaraa kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa Kampeni za CCM leo tarehe 25 Oktoba 2020.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana