Featured

    Featured Posts

DK TULIA WA CCM AMGALAGAZA SUGU UBUNGE MBEYA MJINI


 Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbeya Mjini, amemtangaza Dr. Tulia Ackson wa CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo ambaye amepata kura 75,225, akifuatiwa na Joseph Mbilinyi wa CHADEMA aliyepata kura 37,591.

“Nichukue fursa hii kuwashukuru sana wapiga kura wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa heshima kubwa waliyonipa” – Mshindi wa Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini, Tulia Ackson


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana